1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.05.2024 Matangazo ya Jioni

Saleh Mwanamilongo
4 Mei 2024

Upepo mkali na mvua kubwa yashuhudiwa pwani ya kusini ya Tanzania.I Meli ya kivita ya Iran yavuka Ikweta hadi kizio cha kusini.I Mahakama ya kijeshi yawahukumu kifo askari wanane Kongo.I Rwanda yakanusha shutuma za Marekani kuhusika na shambulizi la Goma.

https://p.dw.com/p/4fVoQ