Karibu kwa Jarida la habari la DW.COM Tafadhali jisajili hapa.
Mazungumzo ya kusaka mkataba wa usitishwaji mapigano Gaza kuendelea mjini Cairo,nchini Misri. Tanzania yasema kuwa Kimbunga Hidaya kimepungua kasi na si tishio tena kwa nchi hiyo. Rais wa China Xi Jinping anatarajiwa hivi leo kuanza ziara yake rasmi na ya nadra barani Ulaya.
Upepo mkali na mvua kubwa yashuhudiwa pwani ya kusini ya Tanzania.I Meli ya kivita ya Iran yavuka Ikweta hadi kizio cha kusini.I Mahakama ya kijeshi yawahukumu kifo askari wanane Kongo.I Rwanda yakanusha shutuma za Marekani kuhusika na shambulizi la Goma.
Umeme wakatika Tanzania wakati Kimbunga Hidaya kikikaribia.I Uingereza kuanza kuwapeleka wahamiaji Rwanda ifikapo Julai Mosi I New Zealand na Ujerumani zasaini mkataba wa kukuza ushirikiano. I Bomu laua watu 12 wakiwemo watoto Kongo.